Karim Benzema na Cristiano Ronaldo wakiwa wamepagawa baada ya kulazimishwa sare ya 1-1 na Villarreal nyumbani Uwanja wa Bernabeu katika mchezo wa La Liga wakishindwa kuendeleza wimbi la ushindi. Sergio Ramos alisababisha penalti iliyowapa Villarreal bao la kuongopza dakika ya 45 lililofungwa na Bruno Soriano, lakini akaisawazishia Real Madrid dakika ya 48 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Brock Lesnar makes stunning return to WWE after two years in exile to
confront John Cena at SummerSlam
-
After two years in exile due to his alleged involvement in the Vince
McMahon lawsuit, Brock Lesnar returned to WWE programming at SummerSlam to
confront Jo...
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment