Karim Benzema na Cristiano Ronaldo wakiwa wamepagawa baada ya kulazimishwa sare ya 1-1 na Villarreal nyumbani Uwanja wa Bernabeu katika mchezo wa La Liga wakishindwa kuendeleza wimbi la ushindi. Sergio Ramos alisababisha penalti iliyowapa Villarreal bao la kuongopza dakika ya 45 lililofungwa na Bruno Soriano, lakini akaisawazishia Real Madrid dakika ya 48 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Real Madrid make major Trent Alexander-Arnold decision ahead of his
Liverpool return in the Champions League
-
The defender is expecting a less-than warm reception when he returns to his
boyhood club for the first time since his £10million summer move to the
Spanish...
28 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment