Kiungo mpya wa Manchester United aliyesajiliwa kwa Pauni Milioni 89, Paul Pogba akiruka juu kuifungia timu hiyo bao la nne dakika ya 42 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Leicester City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Old Trafford. Mabao mengine ya United yalifungwa na Chir Smalling dakika ya 22, Juan Mata dakika ya 37 na Marcus Rashford dakika ya 40 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
CCTV appeal after man stabbed in suspected robbery
-
A 40-year-old man was seriously injured and taken to hospital following the
attack on Thursday night.
19 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment