Kocha Mreno wa Manchester United, Jose Mourinho akifurahia baada ya timu yake kushinda 3-1 dhidi ya wenyeji Northampton Town usiku huu Uwanja wa Sixfields. Mabao ya United yalifungwa na Michael Carrick dakika ya 17, Ander Herrera dakika ya 68 na Marcus Rashford dakika ya 75, wakati la wenyeji lilifungwa na Alex Revell kwa penalti dakika ya 42 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jordan Pickford reveals the unusual sport he would 'love' to take part in
but is BANNED from due to his footballing career
-
Pickford remains a regular at club level for Everton, where he has played
every Premier League game this season. He has one eye on the summer,
however, whe...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment