Kocha Mreno wa Manchester United, Jose Mourinho akifurahia baada ya timu yake kushinda 3-1 dhidi ya wenyeji Northampton Town usiku huu Uwanja wa Sixfields. Mabao ya United yalifungwa na Michael Carrick dakika ya 17, Ander Herrera dakika ya 68 na Marcus Rashford dakika ya 75, wakati la wenyeji lilifungwa na Alex Revell kwa penalti dakika ya 42 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
EFCC: We will never allow relooting of recovered assets again
-
From Noah Ebije, Kaduna Nigeria’s apex anti-graft agency, the Economic and
Financial Crimes Commission (EFCC), has assured Nigerians that it will
never a...
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment