Kocha Mreno wa Manchester United, Jose Mourinho akifurahia baada ya timu yake kushinda 3-1 dhidi ya wenyeji Northampton Town usiku huu Uwanja wa Sixfields. Mabao ya United yalifungwa na Michael Carrick dakika ya 17, Ander Herrera dakika ya 68 na Marcus Rashford dakika ya 75, wakati la wenyeji lilifungwa na Alex Revell kwa penalti dakika ya 42 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ENGLAND VS INDIA SERIES RATINGS: Who was box office, who led from the front
and who will head to the Ashes with a question mark over his head?
-
India completed one of the most dramatic Test match victories ever seen on
British soil, squaring the series with a stunning six-run victory after
Chris Wo...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment