Kiungo wa Simba, Jamal Mnyate (kulia) akiwania mpira dhidi ya beki wa Maji Maji ya Songea, Alex Kondo (kushoto) katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba ilishinda 4-0
Mshambuliaji wa Simba SC, Ibrahim Hajib akimtoka beki wa Maji Maji, Lulanga Mapunda
Beki wa Simba, Mohammed Hussein 'Tshabalala' (kulia) akijaribu kuwatoka wachezaji wa Maji Maji
Alex Kondo wa Maji Maji akimdhibiti kiungo wa Simba, Said Ndemla
Lulanga Mapunda wa Maji Maji akimdhibiti Shizza Kichuya wa Simba
Beki wa Simba, Janvier Besala Bokungu (kushoto) akimiliki mpira mbele ya beki wa Maji Maji, Tarik Simba
Mshambuliaji wa Simba, Laudit Mavugo akimtoka mchezaji wa Maji Maji
Kiungo wa Simba, Mohammed 'Mo' Ibrahim akimuacha chini beki wa Maji Manji
Ekiti PDP: No weak candidate for 2026 guber race
-
From Priscilla Ediare, Ado-Ekiti As the race for the 2026 governorship
election gathers momentum in Ekiti State, the Peoples Democratic Party
(PDP) has s...
0 comments:
Post a Comment