Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akiondoka uwanjani baada ya kuumia timu yake ikilazimishwa sare ya 1-1 nyumbani na Atletico Madrid katika mchezo wa La Liga usiku huu. Ivan Rakitic alianza kuifungia Barca dakika ya 41, kabla ya Angel Correa kuisawazishia Atletico dakika ya 61. Barcelona imesema Messi atakuwa nje kwa wiki tatu kufutia kuumia nyonga PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Boxing legend Floyd Mayweather Jr. sparks fury with comments on Israel
-
Weeks after a ceasefire agreement between Hamas militants from Gaza and
Israel's government, undefeated boxing legend Floyd Mayweather Jr. has now
entered ...
1 hour ago


.png)
0 comments:
Post a Comment