Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akiondoka uwanjani baada ya kuumia timu yake ikilazimishwa sare ya 1-1 nyumbani na Atletico Madrid katika mchezo wa La Liga usiku huu. Ivan Rakitic alianza kuifungia Barca dakika ya 41, kabla ya Angel Correa kuisawazishia Atletico dakika ya 61. Barcelona imesema Messi atakuwa nje kwa wiki tatu kufutia kuumia nyonga PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jordan Pickford reveals the unusual sport he would 'love' to take part in
but is BANNED from due to his footballing career
-
Pickford remains a regular at club level for Everton, where he has played
every Premier League game this season. He has one eye on the summer,
however, whe...
1 hour ago


.png)
0 comments:
Post a Comment