Sergio Aguero akishangilia baada ya kuifungia Manchester City mabao mawili katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji Swansea City Uwanja wa Liberty katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao lingine la City lilifungwa na Raheem Sterling wakati la Swansea lilifungwa na Llorente PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bruno Fernandes and Iliman Ndiaye come to blows in fiery clash as Everton
hold Man United to 2-2 draw in Atlanta
-
The flashpoint occurred just before Everton's second equaliser. Fernandes
slid in from behind on Ndiaye near the halfway line, prompting an angry
reaction ...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment