Moussa Dembele (kulia) akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Celtic katika sare ya 3-3 na Manchester City katika mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ukaya usiku huu mjini Glasgow, Scotland. Bao lingine la Celtic limefungwa Raheem Sterling aliyejifunga wakati wa kuokoa na ya City yamefungwa na Fernandinho, Sterling na Nolito PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Google agrees to curb power use for AI data centers to ease strain on US
grid when demand surges
-
NEW YORK, August 4 (Reuters) -Google has signed agreements with two U.S.
electric utilities to reduce its AI data center power consumption during
times of ...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment