Moussa Dembele (kulia) akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Celtic katika sare ya 3-3 na Manchester City katika mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ukaya usiku huu mjini Glasgow, Scotland. Bao lingine la Celtic limefungwa Raheem Sterling aliyejifunga wakati wa kuokoa na ya City yamefungwa na Fernandinho, Sterling na Nolito PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Namewee to be remanded over Taiwanese influencer Iris Hsieh’s death; Taiwan
seizes US$150m, detains 25 in Prince Group scam probe: SIngapore live news
-
Namewee wanted in Taiwan influencer Iris Hsieh’s death reclassified murder.
Taiwan seizes US$150 million Prince Group assets, 25 held in scam probe
tied to...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment