Adam Lallana akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kwanza dakika ya 17 katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Hull City Uwanja wa Anfield kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo. Mabao mengine ya Liverpool yalifungwa na James Milner kwa penalti mawili dakika ya 30 na 71, Sadio Mane dakika ya 36 na Philippe Coutinho dakika ya 52, wakati bao pekee la Hull lilifungwa na David Meyler dakika ya 51 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tottenham's Destiny Udogie named as Premier League star 'threatened with a
gun' by football agent
-
A Premier League footballer allegedly threatened at gunpoint in a dramatic
street attack by a football agent has been named.
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment