Winga wa Real Madrid, Gareth Bale akipasua katikati ya wachezaji wa Las Palmas katika mchezo wa La Liga usiku huu Uwanja wa Gran Canaria mjini Las Palmas visiwa vya Gran Canaria timu hizo zikitoka sare ya 2-2. Mabao ya Real Madrid yalifungwa na Marco Asensio na Karim Benzema na ya wenyeji yakifungwa na Tana na Sergio Araujo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: The reason behind a shocking detail in photos of Melbourne Cup 
winner Half Yours
                      -
                    
Eagle-eyed racing fans were left shocked following Tuesday's Melbourne Cup, 
after this year's winner, Half Yours, appeared to be bleeding from the 
mouth.
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment