Winga wa Real Madrid, Gareth Bale akipasua katikati ya wachezaji wa Las Palmas katika mchezo wa La Liga usiku huu Uwanja wa Gran Canaria mjini Las Palmas visiwa vya Gran Canaria timu hizo zikitoka sare ya 2-2. Mabao ya Real Madrid yalifungwa na Marco Asensio na Karim Benzema na ya wenyeji yakifungwa na Tana na Sergio Araujo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Simple photos sum up why eight million people are FURIOUS about State of
Origin
-
The NSW Blues came tantalisingly close to pulling off their biggest Origin
comeback ever in Perth on Wednesday night - but the close loss wasn't the
only t...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment