Mshambuliaji wa Simba SC, Danny Lyanga akikabidhiwa mkataba wake na kiongozi wa Fanja jana baada ya kufuzu majaribio. Lyanga awali alifanya majaribio Oman Club, ambako pamoja na kufuzu hakusaini, akasaini Fanja mkataba wa miaka miwili. Haijajulikana Simba SC imemuuza kwa kiasi gani cha fedha mchezaji huyu.
Davies back to lead Wales for crucial qualifiers
-
Tottenham defender Ben Davies returns from injury to lead Wales in their
final World Cup qualifying games against Liechtenstein and North Macedonia,
but Aa...
39 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment