Mshambuliaji wa Simba SC, Danny Lyanga akikabidhiwa mkataba wake na kiongozi wa Fanja jana baada ya kufuzu majaribio. Lyanga awali alifanya majaribio Oman Club, ambako pamoja na kufuzu hakusaini, akasaini Fanja mkataba wa miaka miwili. Haijajulikana Simba SC imemuuza kwa kiasi gani cha fedha mchezaji huyu.
How Jamie Melham went from 'little fat kid' to winning the Melbourne Cup 
after battling back from white powder and Covid scandals
                      -
                    
Jamie Melham will forever be etched in Australian racing record books 
following her triumph in the Melbourne Cup on board Half Yours - but it 
could have be...
59 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment