Mshambuliaji wa Simba SC, Danny Lyanga akikabidhiwa mkataba wake na kiongozi wa Fanja jana baada ya kufuzu majaribio. Lyanga awali alifanya majaribio Oman Club, ambako pamoja na kufuzu hakusaini, akasaini Fanja mkataba wa miaka miwili. Haijajulikana Simba SC imemuuza kwa kiasi gani cha fedha mchezaji huyu.
England may play two games away from Wembley at Euro 2028
-
Euro 2028 co-hosts England face playing one group match and a possible
last-16 game away from Wembley.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment