Gael Clichy akipongezwa na Kelechi Iheanacho na wachezaji wenzake wa Manchester City baada ya kuifungia timu hiyo bao la kwanza Uwanja wa Liberty katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji Swansea City kwenye mchezo wa Kombe la Ligi England usiku huu. Mabao ya City yalifungwa na Clichy dakika ya 49 na Aleix Garcia Serrano dakika ya 67, wakati la Swansea lilifunvgwa na Gylfi Sigurdsson dakika ya 93 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
James McClean confirms he DID throw a punch at Cardiff fan...and reveals why
-
Wrexham star James McClean has confirmed he threw a punch at a Cardiff fan
in self-defence before last week's all-Wales encounter in the Carabao Cup.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment