Gael Clichy akipongezwa na Kelechi Iheanacho na wachezaji wenzake wa Manchester City baada ya kuifungia timu hiyo bao la kwanza Uwanja wa Liberty katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji Swansea City kwenye mchezo wa Kombe la Ligi England usiku huu. Mabao ya City yalifungwa na Clichy dakika ya 49 na Aleix Garcia Serrano dakika ya 67, wakati la Swansea lilifunvgwa na Gylfi Sigurdsson dakika ya 93 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
🚨 Out of the blue, Bundesliga club changes its badge
-
The top match between VfL Wolfsburg and FC Bayern is already creating
plenty of storylines before kickoff. After it became public ahead of the
game that Di...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment