Gonzalo Higuain akishangilia baada ya kuifungia Juventus dakika ya 31 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji, Dinamo Zagreb Uwanja wa Maksimir mjini Zagreb usiku huu katika mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao mengine ya Juve yamefungwa na Miralem Pjanic dakika ya 24, Paulo Dybala dakika ya 57 na Daniel Alves dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Like Lionel Messi' - Frank stunned by Van de Ven goal
-
Tottenham manager Thomas Frank jokes that Micky van de Ven looked like
Lionel Messi after scoring a stunning solo effort in a 4-0 win over
Copenhagen in th...
13 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment