Mshambuliaji wa Yanga, Donald Ngoma akipambana katikati ya wachezaji wa Stand United jana Uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara. Stand United ilishinda 1-0
Mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe (kulia) dhidi ya wachezaji wa Stand United
Tambwe akifumua shuti mbele ya wachezaji wa Stand united
Kiungo wa Yanga, Thabani Kamusoko akimiliki mpira mbele ya wachezaji wa Stand United
0 comments:
Post a Comment