Wachezaji wa timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 17, Serengeti Boys wakiwa nje ya ndege ya shirika la Rwanda Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam tayari kwa safari ya Kigali kwenda kuweka kambi ya zaidi ya wiki moja kujiandaa na mchezo wa mwisho wa mchujo wa kufuzu Fainali za vijana Afrika mwakani Madagascar dhidi ya wenyeji Komgo - Brazaville baada ya Jumapili kushinda 3-2 kwenye mchezo wa kwanza Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. na ushei kujaimeondoka saa 3.00 asubuhi kwenda Kigali, Rwanda. Serengeti Boys iliyoondoka saa 3:00 inatarajiwa kutua Kigali saa 4.30 asubuhi
Joel Embiid miffed by FT disparity in 76ers' Game 3 loss to Knicks: 'I
guess it's good when New York wins'
-
The Knicks attempted 32 free throws on Friday night, twice as many as the
Sixers.
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment