Mario Balotelli akiifungia Nice bao la pili dakika ya 30 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Monaco kwenye Ligi ya Ufaransa Jumatano Uwanja wa Allianz Riviera mjini Nice. Balotelli alifunga pia bao la tatu dakika ya 68, wakati mebao mengine yalifungwa na Paul Baysse NA Alassane Plea PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former college and NFL coach Derek Dooley joins Senate race in Georgia
-
A former college and NFL coach has announced a shock move into politics as
he joined the Senate race in Georgia. He was previously the head coach of
the Un...
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment