Mshambuliaji wa Chelsea, Diego Coasta akipeana mikono na kocha wake, Mtaliano Antonio Conte baada ya kuifungia timu hiyo bao pekee la ushindi dakika ya 43 The Blues ikiilaza 1-0 Crystal Palace Uwanja wa Selhurst Park leo. Ushindi huo unaifanya Chelsea iongoze kwa pointi tisa zaidi kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Saints set up Wigan cup final clash with win over Leeds
-
St Helens set up a repeat of the 2025 Challenge Cup final against Wigan
Warriors as they beat Leeds Rhinos.
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment