Dele Alli akijipinda kuifungia kwa kichwa Tottenham Hotspur dakika ya 58 katika sare ya 2-2 na Manchester City leo Uwanja wa Etihad kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao lingine la Spurs limefungwa na Heung-Min Son dakika ya 77, wakati ya Man City yamefungwa na Leroy Sane dakika ya 49 na Kevin De Bruyne dakika ya 54 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool closely following Monaco’s Lamine Camara
-
As Liverpool prepare for a rebuild this summer, the Merseyside club are
paying particular attention to AS Monaco. As well as taking an interest in
France i...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment