Nahodha wa Manchester United, Wayne Rooney akiwapigia makofi mashabiki baada ya kuifungia timu hiyo bao la kusawazisha dakika ya nne ya muda wa nyongeza baada ya dakika 90 za kawaida katika sare ya 1-1 na wenyeji, Stoke City leo Uwanja wa Bet365 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Juan Mata alijifunga dakika ya 19 kuipatia Stoke bao la kuongoza wakati Rooney leo amefunga bao lake la 250 na kuvunja rekodi ya mabao kwa Mashetani hao Wekundu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Michael Carrick caught a worrying glimpse of the future during Man United's
stalemate at Sunderland, writes CHRIS WHEELER - while the exit door looms
for one £36.5m signing
-
CHRIS WHEELER: Of more concern to Carrick will be how much United missed
the midfielder at the Stadium of Light. They missed his experience and
poise in mi...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment