Beki wa kushoto wa Liverpool, James Milner (kushoto) akimuangusha kiungo wa Swansea City, Mholanzi, Leroy Fer katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Anfield. Swansea wameshinda 3-2. Mabao ya Swansea yamefungwa na Fernando Llorente dakika ya 48 na 52 na Gylfi Sigurdsson dakika ya 74, wakati ya Liverpool yalifungwa na Roberto Firmino dakika ya 55 na 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The small team taking on war criminals with a laptop and the help of AI
-
Human Rights Watch’s digital investigation lab is using technology to take
on abuse and crime across the globe
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment