Nyota wa Chelsea, N'Golo Kante akiwa ameshika tuzo yake ya Mchezaji Bora wa Chama cha Wachezaji wa Kulipwa England kwa msimu wa 2016-2017, baada ya kukabidhiwa jana jioni katika ukumbi wa hoteli ya Grosvenor mjini London kufuatia kuwashinda mchezaji mwenzake, Eden Hazard, Harry Kane wa Tottenham, Zlatan Ibrahimovic wa Manchester United, Romelu Lukaku wa Everton na Alexis Sanchez wa Arsenal PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jordan Pickford reveals the unusual sport he would 'love' to take part in
but is BANNED from due to his footballing career
-
Pickford remains a regular at club level for Everton, where he has played
every Premier League game this season. He has one eye on the summer,
however, whe...
55 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment