Mshambuliaji Mbeligiji, Christian Benteke (kushoto) akiwasanifu mashabiki wa timu yake ya zamani, Liverpool baada ya kuifungia Crystal Palace mabao yote mawili dakika za 42 na 74 katika ushindi wa 2-1 ugenini Uwanja wa Anfield kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo. Bao pekee la Liverpool lilifungwa na Mbrazil, Philippe Coutinho dakika ya 24 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gill marks first Test as India captain with brilliant century
-
In his first match as India captain, Shubman Gill hits a brilliant century
to put his side in control on 304-3 on the opening day of the first Test
against...
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment