Mshambuliaji Mbeligiji, Christian Benteke (kushoto) akiwasanifu mashabiki wa timu yake ya zamani, Liverpool baada ya kuifungia Crystal Palace mabao yote mawili dakika za 42 na 74 katika ushindi wa 2-1 ugenini Uwanja wa Anfield kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo. Bao pekee la Liverpool lilifungwa na Mbrazil, Philippe Coutinho dakika ya 24 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Why this photo signalled the beginning of the end for Simon Goodwin at the
Melbourne Demons
-
Goodwin took the Dees to victory in the 2021 grand final, giving the
storied club its first premiership since 1964 - but it wasn't enough to
save his job o...
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment