Wachezaji wa Arsenal wakimlalamikia refa kwamba Harry Kane alijirusha baada ya kugongana na wachezaji wa Arsenal ili apewe penalti, ambayo alikwenda kuipiga mwenyewe na kuifungia bao la pili Tottenham Hotspur dakika ya 58 ikishinda 2-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa White Hart Lane, London. Bao la kwanza lilifungwa na Dele Alli dakika ya 55 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Dutch footballer Quincy Promes 'extradited to the Netherlands to serve over
SEVEN YEARS in prison' for drug trafficking and stabbing brother - but
taxpayers 'have to pay for the flight!'
-
The former Ajax and Netherlands star, 33, was hit with a six-year jail
sentence in February 2024 after being convicted of helping to smuggle
cocaine into h...
58 minutes ago
0 comments:
Post a Comment