Nacho Monreal wa Arsenal akikimbia kushangilia baada ya shuti lake kumbabatiza beki wa mabingwa watetezi, Leicester City, Robert Huth na kujifunga dakika ya 86 kuwapatia Washika Bunduki wa London bao pekee la ushindi wa 1-0 usiku wa Jumatano Uwanja wa Emirates kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How Athletic Club's unique player policy drives success
-
BBC Sport visits Bilbao to explore Athletic Club's policy of fielding only
Basque players, how this approach has brought success, and the importance
of the...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment