Diego Costa akishangilia baada ya kufunga bao lake la pili jana dakika ya 89, baada ya kufunga lingine dakika ya 53 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya wenyeji, Southampton kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Stamford Bridge, London. Mabao mengine ya Chelsea yalifungwa na Eden Hazard dakika ya tano na Gary Cahill dakika ya 45 na ushei, wakati ya Southampton yalifungwa na Oriol Romeu dakika ya 24 na Ryan Bertrand dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Why this photo signalled the beginning of the end for Simon Goodwin at the
Melbourne Demons
-
Goodwin took the Dees to victory in the 2021 grand final, giving the
storied club its first premiership since 1964 - but it wasn't enough to
save his job o...
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment