James Rodriguez akifurahia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 14 na 66 katika ushindi wa Real Madrid wa 6-2 dhidi ya wenyeji Deportivo La Coruna usiku wa jana kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Manispaa ya Riazor. Mabao mengine ya Real yalifungwa na Alvaro Morata dakika ya kwanza, Lucas Vazquez dakika ya 44, Isco dakika ya 77 na Casemiro dakika ya 87 wakati ya wenyeji yalifungwa na Florin Andone dakika ya 35 na Joselu dakika ya 84. Kocha Zinadine Zidane hakutumia wachezaji tisa aliowaanzisha Jumapili wakifungwa 3-2 na Barcelona, akiwemo Cristiano Ronaldo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Dutch footballer Quincy Promes 'extradited to the Netherlands to serve over
SEVEN YEARS in prison' for drug trafficking and stabbing brother - but
taxpayers 'have to pay for the flight!'
-
The former Ajax and Netherlands star, 33, was hit with a six-year jail
sentence in February 2024 after being convicted of helping to smuggle
cocaine into h...
46 minutes ago
0 comments:
Post a Comment