James Rodriguez akifurahia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 14 na 66 katika ushindi wa Real Madrid wa 6-2 dhidi ya wenyeji Deportivo La Coruna usiku wa jana kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Manispaa ya Riazor. Mabao mengine ya Real yalifungwa na Alvaro Morata dakika ya kwanza, Lucas Vazquez dakika ya 44, Isco dakika ya 77 na Casemiro dakika ya 87 wakati ya wenyeji yalifungwa na Florin Andone dakika ya 35 na Joselu dakika ya 84. Kocha Zinadine Zidane hakutumia wachezaji tisa aliowaanzisha Jumapili wakifungwa 3-2 na Barcelona, akiwemo Cristiano Ronaldo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Why this photo signalled the beginning of the end for Simon Goodwin at the
Melbourne Demons
-
Goodwin took the Dees to victory in the 2021 grand final, giving the
storied club its first premiership since 1964 - but it wasn't enough to
save his job o...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment