Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akifurahia baada ya kuifungia timu yake mabao mawili dakika za 12 na 61 katika ushindi wa 7-1 dhidi ya Osasuna usiku wa leo kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Camp Nou. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Andre Gomes dakika ya 30 na 57, Paco Alcecer dakika ya 64 na 86 na Javier Mascherano kwa penalti dakika ya 67 na la Osasuna limefungwa na Roberto Torres dakika ya 48 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Dutch footballer Quincy Promes 'extradited to the Netherlands to serve over
SEVEN YEARS in prison' for drug trafficking and stabbing brother - but
taxpayers 'have to pay for the flight!'
-
The former Ajax and Netherlands star, 33, was hit with a six-year jail
sentence in February 2024 after being convicted of helping to smuggle
cocaine into h...
50 minutes ago
0 comments:
Post a Comment