Picha ya kubumba iliyopostiwa na @Garcia_Itaipu ikimuonyesha mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi akicheza shindano la dansi la mtaani. Picha hiyo imetokana na tukio la kuangukia kichwa na Muargentina huyo Jumatano wakati wa mchezo wa marudiano wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Juventus timu hizo zikitoka sare ya 0-0 Uwanja wa Camp Nou na Barca kuaga kwa kipigo cha 3-0 walichopewa mjini Torino, Italia wiki iliyopita PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Benue killings: Nigeria unprepared for violence – Seriake Dickson
-
The Senator representing Bayelsa West, Seriake Dickson, says Nigeria is not
prepared for the kind of violence being meted out to its citizens. Speaking
a...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment