Refa David Fields kutoka Marekani akimuondoa bondia Anthony Joshua (kushoto) huku mpinzani wake, Wladimir Klitschko akijikokota kuinuka baada ya kuanguka usiku wa jana Uwanja wa Wembley, London katika pambano la uzito wa juu. Joshua alishinda kwa Technical Knockout (TKO) raundi ya 11 na kutwaa mataji ya IBF, WBA na IBO na ndiye anakuwa bingwa mpya asiyepingika wa uzito wa juu duniani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Why this photo signalled the beginning of the end for Simon Goodwin at the
Melbourne Demons
-
Goodwin took the Dees to victory in the 2021 grand final, giving the
storied club its first premiership since 1964 - but it wasn't enough to
save his job o...
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment