Wachezaji wa Chelsea wakishangilia ushindi wao wa mabao 3-0 dhidi ya Everton Uwanja wa Goodison Park, Liverpool kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo. Mabao ya Chelsea yamefungwa na Pedro dakika ya 66, Gary Cahill dakika ya 79 na Willian dakika ya 86 na sasa The Blues wanafikisha pointi 81 baada ya kucheza mechi 34, wakiendelea kuongoza ligi hiyo, wakifuatiwa na Tottenham Hotspur yenye pointi 73 za mechi 33 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Pundits divided over VAR controversy in Liverpool's clash with Real Madrid
as reason for surprise decision is revealed - after Reds fans were
convinced they were getting a penalty
-
The Reds thought they were about to be awarded a spot kick against their
Spanish opponents when Aurelien Tchouameni handled the ball inside the
penalty are...
26 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment