Wachezaji wa Chelsea wakishangilia ushindi wao wa mabao 3-0 dhidi ya Everton Uwanja wa Goodison Park, Liverpool kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo. Mabao ya Chelsea yamefungwa na Pedro dakika ya 66, Gary Cahill dakika ya 79 na Willian dakika ya 86 na sasa The Blues wanafikisha pointi 81 baada ya kucheza mechi 34, wakiendelea kuongoza ligi hiyo, wakifuatiwa na Tottenham Hotspur yenye pointi 73 za mechi 33 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Dutch footballer Quincy Promes 'extradited to the Netherlands to serve over
SEVEN YEARS in prison' for drug trafficking and stabbing brother - but
taxpayers 'have to pay for the flight!'
-
The former Ajax and Netherlands star, 33, was hit with a six-year jail
sentence in February 2024 after being convicted of helping to smuggle
cocaine into h...
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment