Cristiano Ronaldo akiwa hewani kupigwa kichwa kuipatia bao la kuongoza Real Madrid dakika ya 27 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Valencia usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid kwenye mchezo wa La Liga. Ronaldo pia alikosa penalti dakika ya 56, ambayo iliokolewa na kipa Diego Alves aliyefanya hivyo kwa mara ya 26 katika mikwaju 53 ya matuta aliyowahi kupigiwa. Valencia walitangulia kwa bao la Dani Parejo dakika ya 82, kabla ya Marcelo kuisawazishia Real Madrid dakika ya 86 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Australia not a bunch of old-timers - they're an outstanding team'
-
Australia's squad is older than England's and many are playing in their
last Ashes, but they remain an outstanding team, says Stephan Shemilt.
32 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment