Kocha wa Newcastle, Rafa Benitez (katikati) akipongezana na wachezaji wake baada ya kufanikiwa kurejea Ligi Kuu ya England jana kufuatia ushindi wa 4-1 dhidi ya Preston North End katika mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza Uwanja wa St. James' Park. Newcastle imefikisha pointi 88 baada ya kucheza mechi 44 na inaendelea kushika nafasi ya pili nyuma ya Brighton & Hove Albion wenye pointi 92 za mechi 44 ambao pia wamepanda Ligi Kuu PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
Excavator brings down building in controlled demolition
                      -
                    
On October 29, 2025, in Sichuan, China, a video captured an excavator 
drilling into a building as it was demolished. Water was sprayed to 
suppress dust, cr...
51 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment