Sadio Mane akishangilia na Trent Alexander-Arnold na Adam Lallana baada ya kuifungia Liverpool bao la kwanza dakika ya 61 Uwanja wa Turf Moor katika ushindi wa 2-1 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England dhidi ya wenyeji, Burnley. Bao la pili la Liverpool lilifungwa na Ragnar Klavan dakika ya 90 na ushei baada ya Johann Berg Gudmundsson kuisawazishia Burnley dakika ya 87 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How Live Scores Are Revolutionizing Football Coverage in Nigeria: From NPFL
to the Super Eagles
-
The Digital Shift in Nigerian Football Coverage In recent years, football
coverage in Nigeria has undergone a remarkable digital transformation. Gone
are...
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment