Sadio Mane akishangilia na Trent Alexander-Arnold na Adam Lallana baada ya kuifungia Liverpool bao la kwanza dakika ya 61 Uwanja wa Turf Moor katika ushindi wa 2-1 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England dhidi ya wenyeji, Burnley. Bao la pili la Liverpool lilifungwa na Ragnar Klavan dakika ya 90 na ushei baada ya Johann Berg Gudmundsson kuisawazishia Burnley dakika ya 87 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The Lions head Down Under! Maro Itoje leads his squad to Australia...
flying in the world's most luxurious suites
-
The Lions journey to Australia has finally begun after the players took off
from Dublin on Saturday morning. The squad bedded down in their luxury
Qsuites ...
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment