Lionel Messi wa Barcelona akikimbia na mpira kwa mahesabu dhidi ya beki wa Las Palmas, Alejandro Galvez katika mchezo wa La Liga jana Uwanja wa Gran Canaria usiku wa jana. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1, Barca wakitangulia kwa bao la Messi dakika ya 21, kabla ya Las Palmas kusawazisha kupitia kwa Jonathan Calleri kwa penalti baada ya Lucas Digne kuushika mpira kwenye boksi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
California could slash 5 GOP US House seats, as Texas moves at Trump's
urging to pad GOP margin
-
California Democrats are considering new political maps that could slash
five Republican-held House seats in the liberal-leaning state while
bolstering Dem...
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment