Mohamed Salah akiteleza chini kwa furaha kushangilia na wachezaji wenzake, Roberto Firmino aliyempa pasi na Andy Robertson baada ya kuifungia Liverpool bao la kwanza dakika ya 12 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Manchester City kwenye mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Anfield. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Alex Oxlade-Chamberlain dakika ya 20 pasi ya James Milner na Sadio Mane dakika ya 31 pasi ya Salah PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tony Pulis football is BACK says Pep Guardiola as Manchester City boss
claims Premier League's set piece obsession is like playing Stoke City
EVERY week
-
Pep Guardiola claimed that most Premier League trips are like facing Stoke
City under Tony Pulis as an obsession with set pieces engulfs the top
flight thi...
33 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment