Mshambuliaji Mfaransa, Alexandre Lacazette akinyoosha vidole juu kushangilia baada ya kuifungia mabao mawili Arsenal dakika za 85 na 89 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya West Ham United kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Emirates, London. Mabao mengine ya Arsenal yalifungwa na Nacho Monreal dakika ya 51 na Aaron Ramsey dakika ya 82, wakati la West Ham limefungwa na Marko Arnautovic dakika ya 64 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Maccabi Tel Aviv chief blasts 'blatant falsehoods' about club's fans after
they were BANNED from attending controversial Aston Villa clash
-
Maccabi Tel Aviv 's chief executive has condemned 'blatant falsehoods'
about the club's supporters ahead of Thursday's Europa League clash with
Aston Villa .
23 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment