David Silva na Raheem Sterling wakishangilia baada ya wote kufunga katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Swansea City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Silva alifunga dakika ya 12 na Sterling dakika ya 16, wakati mabao mengine yamefungwa na Kevin De Bruyne dakika ya 54, Bernardo Silva dakika ya 64 na Gabriel Jesus dakika ya 88 baada ya kukosa penalty dakika ya 64 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Newcastle vs Tottenham: Live score, team news and updates as Son Heung-min
waves goodbye after a decade in north London in a pre-season friendly
-
Follow Mail Sport's live blog for the latest score, team news and updates
as Newcastle take on Tottenham at the Seoul World Cup Stadium in a
pre-season fr...
7 minutes ago
0 comments:
Post a Comment