Mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford ameonyesha jezi hii Real Madrid aliyopewa zawadi na Cristiano Ronaldo ambaye ameisaini na kuweka ujumbe; "Kwa Marcus, endelea kufanya kazi nzuri". Ronaldo ameendelea kuonyesha mapenzi yake kwa chipukizi hiyo, hii ikiwa zawadi ya pili anampa baada ya kiatu cha Nike Air Max 97 CR7 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
FCT police investigate death of woman found bound, unconscious in Gwarinpa
hotel room
-
From Juliana Taiwo-Obalonye, Abuja The Federal Capital Territory (FCT)
Police Command has opened a full investigation into the circumstances
surrounding ...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment