Mashabiki wa Simba wakitamba Uwanja wa Taifa dhidi ya mashabiki wa Yanga kabla ya mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara baina ya mahasimu hao wa jadi katika mpira wa miguu nchini, unaotarajiwa kuanza Saa 10:00 jioni ya leo
Mashabiki wa Yanga nao wakijibu wapinzani wao, japo hawajajitokeza kwa wingi uwanjani
Mashabiki wa Simba wanakaribia kujaza eneo lao
Upande wa mashabiki wa Yanga mwitikio ni mdogo
Mashabiki wa Yanga hawajajitokeza kwa wingi leo
Eneo kubwa la mashabiki wa Yanga ni tupu
Lakini mahasimu wao wamejitokeza kwa wingi
Na hata nje ya Uwanja idadi ya mashabiki waliojitokeza ni zaidi ya wa Yanga
Rangi nyekundu ndizo zimetawala leo ndani na nje ya Uwanja wa Taifa
Mama huyu kamvisha mwnaawe ki-Simba Simba anawahi nafasi yake
Star NFL rookie reveals surprising way he plans to spend his
record-breaking $53m first contract
-
The highly-rated Love was selected No. 3 overall by the Cardinals out of
Notre Dame in last month's NFL Draft and on Friday he formally signed his
four-yea...
16 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment