Marouane Fellaini akishangilia kishujaa baada ya kuifungia bao la ushindi Manchester United dakika ya 90 na ushei kufuatia kutokea benchi dakika ya 64 kuchukua nafasi ya Jesse Lingard ikiilaza Arsenal 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa leo Uwanja wa Old Trafford. Paul Pogba alianza kuifungia Man United dakika ya 16 kabla ya Henrikh Mkhitaryan kuisawazishia Arsenal dakika ya 51 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Move aside, Luiz and Lehmann! Introducing football's glamorous new POWER
couple who sparked up a romance at the same Premier League club
-
For a long time Alisha Lehmann and Douglas Luiz represented football's most
prominent power couple - but their break up has paved the way for another
duo t...
47 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment