Mohamed Salah akiinua mpira kumtungua kipa wa West Bromwich Albion, Ben Foster kuifungia Liverpool bao la pili dakika ya 72 katika sare ya 2-2 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa The Hawthorns, West Bromwich. Danny Ings alianza kuifungia Liverpool dakika ya nne, lakini West Brom ikazinduka na kusawazisha kupitia kwa Jake Livermore dakika ya 79 na Salomon Rondon dakika ya 88 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Van Dijk rejects Rooney's 'lazy criticism'
-
Liverpool captain Virgil van Dijk says Wayne Rooney blaming a lack of
leadership for the Anfield side's recent poor form is "lazy criticism".
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment