Patrick Van Aanholt akishangilia na mchezaji mwenzake, Wilfried Zaha baada ya kuifungia bao la nne Crystal Palace katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Leicester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Selhurst Park. Mabao mengine ya Palace yamefungwa na Zaha dakika ya 17, James McArthur dakika ya 38, Ruben Loftus-Cheek dakika ya 81, Van Aanholt dakika ya 84 na Christian Benteke dakika ya 90 kwa penalti huku Leicester City ikimaliza pungufu baada ya Marc Albrighton kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 56 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Star NFL rookie reveals surprising way he plans to spend his
record-breaking $53m first contract
-
The highly-rated Love was selected No. 3 overall by the Cardinals out of
Notre Dame in last month's NFL Draft and on Friday he formally signed his
four-yea...
15 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment