Kipa wa Simba SC, Daniel Panju akiwa ameanguka chini baada ya Ally Yussuf Tigana (hauopo pichani) kuifungia Yanga bao la pili dakika ya 80 katika ushindi wa 2-1 kwenye mechi ya Ngao Ya Jamii Uwanja wa Taifa, sasa Uhuru mjini Dar es Salaam Februari 17, mwaka 2001. Bao la kwanza la Yanga lilifungwa na Edibilly Lunyamila dakika ya 47, ambalo lilikuwa la kusawazisha baada ya Steven Mapunda 'Garrincha' kuanza kuifungia Simba dakika ya 43
Star NFL rookie reveals surprising way he plans to spend his
record-breaking $53m first contract
-
The highly-rated Love was selected No. 3 overall by the Cardinals out of
Notre Dame in last month's NFL Draft and on Friday he formally signed his
four-yea...
15 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment