Marco Asensio akishangilia kibabe baada ya kuifungia bao la ushindi Real Madrid dakika ya 57 ikiilaza 2-1 Bayern Munich usiku huu Uwanja wa Allianz Arena katika Nusu Fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Bayern Munich walitangulia kwa bao la Josh Kimmich dakika ya 28 kabla ya Marcelo kuisawazishia Real dakika ya 44 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mark Sanchez's NFL broadcast career looks OVER after arrest for truck
driver brawl as Fox lines up Super Bowl winner to replace him
-
Sanchez, 38, was arrested in hospital on suspicion of felony battery.
Police said Sanchez was stabbed multiple times after allegedly attacking a
truck driv...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment