Marco Asensio akishangilia kibabe baada ya kuifungia bao la ushindi Real Madrid dakika ya 57 ikiilaza 2-1 Bayern Munich usiku huu Uwanja wa Allianz Arena katika Nusu Fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Bayern Munich walitangulia kwa bao la Josh Kimmich dakika ya 28 kabla ya Marcelo kuisawazishia Real dakika ya 44 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Van Dijk rejects Rooney's 'lazy criticism'
-
Liverpool captain Virgil van Dijk says Wayne Rooney blaming a lack of
leadership for the Anfield side's recent poor form is "lazy criticism".
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment