Mshambuliaji wa Simba SC, Abdallah Athumani Seif ‘King Kibaden’ akiwa na mpira wake enzi zake miaka ya 1970, kipindi ambacho aliweka rekodi ya kufunga mabao matatu katika mechi moja dhidi ya mahasimu wa jadi, Yanga SC kwenye ushindi wa 6-0 Julai 19, mwaka 1977 Uwanja wa Taifa, sasa Uhuru mjini Dar es Salaam. Kibadeni alifunga dakika za 10, 42 na 89 wakati mabao mengine yalifungwa na Jumanne Hassan 'Masimenti' dakika ya 60 na 73 na beki wa Yanga, Suleiman Sanga aliyejifunga dakika ya 20.
First Solar (FSLR) Fell by Over 12% This Week. Here is Why.
-
The share price of First Solar, Inc. (NASDAQ:FSLR) fell by 12.59% between
June 10 and June 17, 2025, putting it among the Energy Stocks that Lost the
Most ...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment