Winga Gareth Bale (katikati) akipongezwa na wachezaji wenzake baada ya kuifungia Real Madrid bao la kwanza dakika ya nane katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Leganes kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid. Bao la pili la Real Madrid ambayo ilimpumzisha nyota wake, Cristiano Ronaldo lilifungwa na Borja Mayoral dakika ya 45, kabla ya Darko Brasanac kuifungia Leganes la kufutia machozi dakika ya 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Pundits divided over VAR controversy in Liverpool's clash with Real Madrid
as reason for surprise decision is revealed - after Reds fans were
convinced they were getting a penalty
-
The Reds thought they were about to be awarded a spot kick against their
Spanish opponents when Aurelien Tchouameni handled the ball inside the
penalty are...
54 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment