Bondia Muingereza Amir Khan (kushoto) akimtazama mpinzani wake, Mcanada Phil Lo Greco aliyeanguka chini (kulia) na kushindwa kuendelea na pambano la uzito wa Super Welter sekunde ya 40 ukumbi wa Echo Arena Jijini Liverpool usiku wa Jumamosi, hiyo ikiwa mara ya pili baada ya awali kuanguka sekunde ya 18 na kuinuka kuendelea. Khan alikuwa anapigana tena baada ya kusimama kwa takriban miaka miwili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Van Dijk rejects Rooney's 'lazy criticism'
-
Liverpool captain Virgil van Dijk says Wayne Rooney blaming a lack of
leadership for the Anfield side's recent poor form is "lazy criticism".
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment