Kiungo David Silva akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la kwanza dakika ya 30 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Shakhtar Donetsk usiku wa Jumanne Uwanja wa Oblasny Sport Complex Metalist mjini Kharkiv, Ukraine kwenye mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Aymeric Laporte dakika ya 35 na Bernardo Silva dakika ya 70 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Who do fans think is the key player in each Premier League team?
-
From the "soul of the team" to an "absolute warrior", here are the Premier
League's 20 key players, as chosen by our fan writers.
41 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment