Paul Pogba na Anthony Martial wakishangilia baada ya wote kufunga katika ushindi wa 2-1wa Manchester United dhidi ya Everton leo Uwanja wa Old Trafford kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Pogba alifunga bao la kwanza dakika ya 27 akimalizia mpira uliorudi baada ya Jordan Pickford kuokoa mkwajue wake wa penalti kabla ya kumpasia Martial kufunga la pili dakika ya 49, wakati la Everton limefungwa na Gylfi Sigurdsson kwa penalti pia dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Google agrees to curb power use for AI data centers to ease strain on US
grid when demand surges
-
NEW YORK, August 4 (Reuters) -Google has signed agreements with two U.S.
electric utilities to reduce its AI data center power consumption during
times of ...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment