Kiungo Mbrazil, Marcelo akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Real Madrid dakika ya 55 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Viktoria Plzen ya Jamhuri ya Czech usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi G Ligi ya Mabingwa Ulaya. Bao la kwanza la Real Madrid lilifungwa na Mfaransa Karim Benzema dakika ya 11, wakati la wageni lilifungwa na Patrik Hrosovsky dakika ya 78 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Who do fans think is the key player in each Premier League team?
-
From the "soul of the team" to an "absolute warrior", here are the Premier
League's 20 key players, as chosen by our fan writers.
41 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment