Wayne Rooney akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili DC United dakika ya nane na la penalti dakika ya 74 na kutoa pasi ya bao lingine lililofungwa na Luciano Acosta dakika ya 24 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya New York City ambao bao lao lilifungwa na David Vill dakika ya 78 Uwanja wa Audi Field mjini Washington, District of Columbia katika Ligi ya Marekani (MLS) PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Travis Kelce goads Bills fans as he walks into locker room hurt from a
massive hit by rival
-
The Kansas City Chiefs tight end left the field a few seconds before his
teammates and the halftime interval on Sunday, having taken a brutal hit to
the ch...
18 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment