Wayne Rooney akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili DC United dakika ya nane na la penalti dakika ya 74 na kutoa pasi ya bao lingine lililofungwa na Luciano Acosta dakika ya 24 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya New York City ambao bao lao lilifungwa na David Vill dakika ya 78 Uwanja wa Audi Field mjini Washington, District of Columbia katika Ligi ya Marekani (MLS) PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Star NFL rookie reveals surprising way he plans to spend his
record-breaking $53m first contract
-
The highly-rated Love was selected No. 3 overall by the Cardinals out of
Notre Dame in last month's NFL Draft and on Friday he formally signed his
four-yea...
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment