Wayne Rooney akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili DC United dakika ya nane na la penalti dakika ya 74 na kutoa pasi ya bao lingine lililofungwa na Luciano Acosta dakika ya 24 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya New York City ambao bao lao lilifungwa na David Vill dakika ya 78 Uwanja wa Audi Field mjini Washington, District of Columbia katika Ligi ya Marekani (MLS) PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Daniel Levy hits back at his critics in rare interview as Tottenham chief
sends warning to his club's fans and reveals why he sacked Ange Postecoglou
and hired Thomas Frank
-
Just 16 days after leading Spurs to a Europa League triumph Postecoglou was
sacked, and replaced by long-time Brentford boss Thomas Frank.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment